Текст песни
yeee iye, iye aaaahx2
naitwa dah roxy.
chorus
sikutarajia... mammaaaa.
kama unge nitendea hayaaaa,
moyo wangu nilikupa hawaaa,
ila ukautelekeza,
kukurudia sitoweza,,sitoweza
dah roxy sitoweza,x2
verse 1
nilipo kuona mwanzoni, machoni ulinivutia.
nikadhani nime wini, na ndani nikajitia.
sikujua nicha wageni, na hata wapita njia.
kutwa kucha vibarazani, wageni kuwangojea.
ili uwape hisani, na huku ukiwapokea.
ulivyo nizalilisha mimi, nikikumbuka mazoeya.
nijua kwa kweli, mwenzangu umeniumbua.
aibu ulo nivika, kila mja yuwa ijua.
chorus
sikutarajia... mammaaaa.
kama unge nitendea hayaaaa,
moyo wangu nilikupa hawaaa,
ila ukautelekeza,
kukurudia sitoweza,,sitoweza
dah roxy sitoweza,x2
verse 2
penzi lako la ashiki, lilinitia uchizi.
nikawa simakiniki, bila wewe mpumbazi.
na nilipo kuweka ndani, si ulizani ni utani.
ukanza purukushani, kuniletea mwafulani.
mwisho ukaamua, kunitelekeza mimi.
wala usifikirie kwamba mi nakutamani,
eti nitapo itaka amani, turudi kama zamani.
nije kukuangukia, nikuombe samahani.
yanini nili kosa nini,
bora kuvuta neli, kukuona tena sitamani.
chorus
sikutarajia... mammaaaa.
kama unge nitendea hayaaaa,
moyo wangu nilikupa hawaaa,
ila ukautelekeza,
kukurudia sitoweza,,sitoweza
dah roxy sitoweza,x2
bridge
ulichezea shilingi kando ya shimo.
hivi sasa imekuponyoka kwenye mikono imekuwa soo
yale ulio nitenda mami we waweza go,
nami nakupa kisogo, nyuma ndio sirudi ng`ooo
verse 3
ulinitia tamaa, kua nitaishi nawe
ndipo nikawa na furaha, na ovu sikuzania.
kumbe ulinihadaa, unae umpendae.
ukaja kuniambia, mimi nawe tuwachane.
ukawa huna huruma, hutaki turudiane.
hivi sasa unatamani, mimi nawe turudiane
nilipokugusia, mwenzangu ukapuuza.
ukaniandama kwa siri, mwisho ikawa dhahiri.
ulio tenda si siri, mwenzio nimetafakiri.
nikaweka naziri, kuziziba zangu siri
ila bado ukanikejeli,
mitaani ukaniaziri, eti mimi sina dili
sasa nikupe nini, ili unisamini.
bora kuvuta ganja, ila kukuona tena sitamani.
chorus
sikutarajia... mammaaaa.
kama unge nitendea hayaaaa,
moyo wangu nilikupa hawaaa,
ila ukautelekeza,
kukurudia sitoweza,,sitoweza
dah roxy sitoweza,x2